Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 5:3 - Swahili Revised Union Version

ikiwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tuko uchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naam, tunapaswa kuvikwa namna hiyo ili tusije tukasimama mbele ya Mungu bila vazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naam, tunapaswa kuvikwa namna hiyo ili tusije tukasimama mbele ya Mungu bila vazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naam, tunapaswa kuvikwa namna hiyo ili tusije tukasimama mbele ya Mungu bila vazi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kuwa tukishavikwa hatutaonekana tena kuwa uchi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kuwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tena kuwa uchi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ikiwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tuko uchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 5:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Musa alipoona ya kuwa watu hawa wameasi, maana Haruni amewaacha waasi, na kuwa dhihaka kati ya adui zao,


Maana katika nyumba hii twaugua, tukitamani sana kuvikwa kao letu litokalo mbinguni;


Kwa sababu sisi tulio katika maskani hii twapumua kwa shida, tukilemewa; si kwamba twataka kuvuliwa, bali kuvikwa, ili kitu kile kipatikanacho na mauti kimezwe na uzima.


(Tazama, naja kama mwizi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)


Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.