Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 6:4 - Swahili Revised Union Version

Basi, akaenda pamoja nao. Nao walipofika Yordani, wakakata miti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo akaenda pamoja nao, na walipofika mtoni Yordani wakaanza kukata miti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo akaenda pamoja nao, na walipofika mtoni Yordani wakaanza kukata miti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo akaenda pamoja nao, na walipofika mtoni Yordani wakaanza kukata miti.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye akaenda pamoja nao. Basi wakaenda Yordani, nao wakaanza kukata miti.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye akaenda pamoja nao. Basi wakaenda Yordani, nao wakaanza kukata miti.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, akaenda pamoja nao. Nao walipofika Yordani, wakakata miti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 6:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mmoja wao akasema, Uwe radhi, basi nakusihi, uende pamoja na watumishi wako. Akajibu, Nitakwenda.


Lakini mmojawapo alipokuwa katika kukata boriti, chuma cha shoka kikaanguka majini; akalia, akasema, Ole wangu! Bwana wangu, kwani kiliazimiwa kile.


kama aingiapo mtu na mwenziwe mwituni kwenda kukata kuni, akapeleka mkono wake na shoka ili kukata mti, likatoka shoka katika mpini, likampiga yule mwenziwe hata akafa; basi na akimbilie katika miji hii mmojawapo awe hai;


vijana vyenu, na wake wenu, na mgeni wako aliye kati ya kituo chako, tokea mchanjaji wa kuni zako hata mtekaji wa maji yako;