Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 5:4 - Swahili Revised Union Version

Mtu mmoja akaingia, akamwambia bwana wake, akasema, Yule kijana mwanamke aliyetoka nchi ya Israeli asema hivi na hivi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naamani alipopata habari hizi, akaenda kwa mfalme na kumweleza habari za mtoto huyu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naamani alipopata habari hizi, akaenda kwa mfalme na kumweleza habari za mtoto huyu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naamani alipopata habari hizi, akaenda kwa mfalme na kumweleza habari za mtoto huyu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naamani akaenda kwa bwana wake na kumwambia alichosema yule msichana kutoka Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naamani akaenda kwa bwana wake na kumwambia alichosema yule msichana kutoka Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mmoja akaingia, akamwambia bwana wake, akasema, Yule kijana mwanamke aliyetoka nchi ya Israeli asema hivi na hivi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 5:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia bibi yake, Laiti bwana wangu angekuwa pamoja na yule nabii aliyeko Samaria! Maana angemponya ukoma wake.


Mfalme wa Shamu akasema, Haya! Basi, mimi nitampelekea mfalme wa Israeli waraka. Basi akaenda zake, akachukua mikononi mwake talanta kumi za fedha, na vipande vya dhahabu elfu sita, na mavazi kumi.


lakini hakumruhusu, bali alimwambia, Nenda zako nyumbani kwako, kwa watu wa kwenu, kawahubirie ni mambo gani makuu aliyokutendea Bwana, na jinsi alivyokurehemu.