Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 20:16 - Swahili Revised Union Version

Isaya akamwambia Hezekia, Basi, lisikie neno la BWANA,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la Mwenyezi-Mungu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la Mwenyezi-Mungu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la Mwenyezi-Mungu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la Mwenyezi Mungu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la bwana:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Isaya akamwambia Hezekia, Basi, lisikie neno la BWANA,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 20:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mikaya akasema, Sikia basi neno la BWANA; Nilimwona BWANA ameketi katika kiti chake cha enzi, na jeshi lote la mbinguni wamesimama upande wa mkono wake wa kulia na wa kushoto.


Ndipo akasema, Wameona nini nyumbani mwako? Hezekia akajibu, Vitu vyote vilivyomo nyumbani mwangu wameviona; hapana kitu nisichowaonesha katika hazina zangu.


Angalia, siku zinakuja, ambazo vitu vyote vilivyomo nyumbani mwako, na hivyo vilivyowekwa akiba na baba zako hata leo, vitachukuliwa mpaka Babeli; hakitasalia kitu, asema BWANA.


Elisha akasema, Lisikieni neno la BWANA; BWANA asema hivi, Kesho panapo saa hii, kipimo cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, langoni pa Samaria.


Lisikieni neno la BWANA, enyi waamuzi wa Sodoma; tegeni masikio msikie sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora.


Basi, sasa lisikie neno la BWANA; Wewe unasema, Usitabiri juu ya Israeli, wala usitoe neno lako juu ya nyumba ya Isaka;


Hata walipokuwa wakishuka kuelekea viunga vya mji, Samweli akamwambia Sauli, Mwambie mtumishi atutangulie, naye akitangulia, wewe nawe simama hapa kwa muda, ili nikuambie neno la Mungu.