Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 2:22 - Swahili Revised Union Version

Hivyo yale maji yakapona hata leo, sawasawa na neno la Elisha alilolinena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na maji hayo yamekuwa ya kufaa mpaka leo, kama alivyosema Elisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na maji hayo yamekuwa ya kufaa mpaka leo, kama alivyosema Elisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na maji hayo yamekuwa ya kufaa mpaka leo, kama alivyosema Elisha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nayo yale maji yakaponywa hadi leo, sawasawa na neno la Al-Yasa alilokuwa amesema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nayo yale maji yakaponywa mpaka leo, sawasawa na neno la Al-Yasa alilokuwa amesema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivyo yale maji yakapona hata leo, sawasawa na neno la Elisha alilolinena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 2:22
2 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka akaenda mpaka chemchemi ya maji, akatupa ile chumvi humo ndani, akasema, BWANA asema hivi, Nimeyaponya maji haya; hakutatoka huko tena kufa wala kuzaa mapooza.


Akakwea kutoka huko mpaka Betheli; naye alipokuwa akienda njiani, wakatoka vijana katika mji, wakamfanyizia mzaha, wakamwambia, Paa wewe mwenye upaa! Paa wewe mwenye upaa!