Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 19:5 - Swahili Revised Union Version

Basi watumishi wa mfalme Hezekia wakamwendea Isaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, hao watumishi wa mfalme Hezekia walipokwisha fika kwa Isaya,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, hao watumishi wa mfalme Hezekia walipokwisha fika kwa Isaya,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, hao watumishi wa mfalme Hezekia walipokwisha fika kwa Isaya,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maafisa wa Mfalme Hezekia walipofika kwa Isaya,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maafisa wa Mfalme Hezekia walipofika kwa Isaya,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi watumishi wa mfalme Hezekia wakamwendea Isaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 19:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Yamkini BWANA, Mungu wako, atayasikia maneno yote ya kamanda huyu, ambaye mfalme wa Ashuru, bwana wake, amemtuma ili amtukane Mungu aliye hai; naye atayakemea hayo maneno aliyoyasikia BWANA, Mungu wako; kwa sababu hii inua dua yako kwa ajili ya mabaki yaliyobakia.


Isaya akawaambia, Mwambieni bwana wenu maneno haya; BWANA asema hivi, Usiyaogope maneno hayo uliyoyasikia, ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana.


Isaya akawaambia, Mwambieni bwana wenu maneno haya; BWANA asema hivi, Usiyaogope maneno uliyoyasikia, ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana.


Sikiliza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja