Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 1:17 - Swahili Revised Union Version

bali, alipokuwapo hapa Rumi, alinitafuta kwa bidii na kunipata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ila mara tu alipofika Roma, alianza kunitafuta kwa bidii mpaka akanipata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ila mara tu alipofika Roma, alianza kunitafuta kwa bidii mpaka akanipata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ila mara tu alipofika Roma, alianza kunitafuta kwa bidii mpaka akanipata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Badala yake, alipokuwa Rumi alinitafuta kwa bidii hadi akanipata.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Badala yake, alipokuwa Rumi, alinitafuta kwa bidii mpaka akanipata.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

bali, alipokuwapo hapa Rumi, alinitafuta kwa bidii na kunipata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 1:17
3 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana awape rehema wale walio wa jamaa wa Onesiforo; maana mara nyingi aliniburudisha, wala hakuuonea haya mnyororo wangu;


Bwana na amjalie ili kwamba apate rehema machoni pa Bwana siku ile. Na jinsi alivyonihudumia kwa mengi huko Efeso, wewe unajua sana.