Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 4:9 - Swahili Revised Union Version

Naye Daudi akawajibu Rekabu na Baana, nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akawaambia, Aishivyo BWANA, aliyenihifadhi roho yangu katika shida zote,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Daudi akamjibu Rekabu na Baana, nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi,. “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, kwamba yeye ameyakomboa maisha yangu kutokana na kila adui.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Daudi akamjibu Rekabu na Baana, nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi,. “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, kwamba yeye ameyakomboa maisha yangu kutokana na kila adui.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Daudi akamjibu Rekabu na Baana, nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi,. “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, kwamba yeye ameyakomboa maisha yangu kutokana na kila adui.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama bwana aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Daudi akawajibu Rekabu na Baana, nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akawaambia, Aishivyo BWANA, aliyenihifadhi roho yangu katika shida zote,

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 4:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

naye Malaika aliyeniokoa na maovu yote, na awabariki vijana hawa; jina langu na litajwe juu yao, na jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka; na wawe wingi wa watu kati ya nchi.


Na huyo mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili, viongozi wa vikosi; jina lake mmoja akiitwa Baana, na jina la wa pili Rekabu wana wa Rimoni, Mbeerothi, wa wana wa Benyamini; (kwa maana Beerothi umehesabiwa kuwa wa Benyamini;


Naye mfalme akaapa, akasema, BWANA aishivyo, aliyenikomboa roho yangu katika shida zote,


Aukomboa uhai wako kutoka kwa kaburi, Akutia taji la fadhili na rehema,


Akawaokoa kutoka kwa mkono wa mtu adui, aliyewachukia, Na kuwakomboa kutoka kwa mkono wa adui zao.


Na waseme hivi waliokombolewa na BWANA, Wale aliowakomboa na mkono wa mtesi.


Walilia, naye BWANA akasikia, Akawaponya kutoka kwa taabu zao zote.


BWANA huzikomboa nafsi za watumishi wake, Wote wamkimbiliao hawatahukumiwa.


Uikaribie nafsi yangu, uikomboe, Kwa sababu ya adui zangu unifidie.


Midomo yangu itafurahi sana nikuimbiapo, Na nafsi yangu uliyoikomboa.


Tena, angalia, kama vile maisha yako yalivyokuwa na thamani machoni pangu, kadhalika na maisha yangu na yawe na thamani machoni pa BWANA, akaniokoe katika shida zote.