Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Yohana 1:4 - Swahili Revised Union Version

Na haya tunayaandika, ili furaha yetu itimizwe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tunawaandikia nyinyi mambo haya kusudi furaha yetu ikamilike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tunawaandikia nyinyi mambo haya kusudi furaha yetu ikamilike.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tunawaandikia nyinyi mambo haya kusudi furaha yetu ikamilike.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tunaandika mambo haya ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tunaandika mambo haya ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na haya tunayaandika, ili furaha yetu itimizwe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Yohana 1:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nitafurahi sana katika BWANA, nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu; maana amenivika mavazi ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama bwana arusi ajipambavyo kwa kilemba cha maua, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa vyombo vya dhahabu.


Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.


Hata sasa hamjaomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.


Aliye naye bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi, yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia sana sauti yake bwana arusi.


Si kwamba tunatawala imani yenu; bali tu wasaidizi wa furaha yenu; maana kwa imani yenu mnasimama.


na kuujua upendo wake Kristo, upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu.


Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Kwa kuwa ninayo mambo mengi, sitaki kuyaandika kwa karatasi na wino; lakini natarajia kuja kwenu, na kusema nanyi uso kwa uso, ili furaha yetu iwe imetimizwa.