Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 6:4 - Swahili Revised Union Version

Basi, mkiwa na mahali panapohukumiwa mambo ya maisha haya, mwawaweka kuwa waamuzi hao waliohesabiwa kuwa si kitu; katika kanisa?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo kama kuna ugomvi miongoni mwenu kuhusu mambo kama haya, je, mnachagua watu ambao wanaonekana hata sio wa heshima katika kundi la waumini kuwa waamuzi kati yenu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo kama kuna ugomvi miongoni mwenu kuhusu mambo kama haya, chagueni kuwa waamuzi, watu ambao wanaonekana hata sio wa heshima katika kundi la waumini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, mkiwa na mahali panapohukumiwa mambo ya maisha haya, mwawaweka kuwa waamuzi hao waliohesabiwa kuwa si kitu; katika kanisa?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 6:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maana yanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu hao walio ndani?


Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika, basi si zaidi sana mambo ya maisha haya?


Nasema hayo nipate kuwatahayarisha. Je! Ndivyo, kwamba kwenu hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima, awezaye kukata maneno ya ndugu zake?