Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 15:51 - Swahili Revised Union Version

Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sikilizeni, nawaambieni siri: Sisi hatutakufa sote, ila sote tutageuzwa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sikilizeni, nawaambieni siri: Sisi hatutakufa sote, ila sote tutageuzwa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sikilizeni, nawaambieni siri: sisi hatutakufa sote, ila sote tutageuzwa,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sikilizeni, nawaambia siri: Sote hatutalala, lakini sote tutabadilishwa:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sikilizeni, nawaambia siri: Sote hatutalala, lakini sote tutabadilishwa

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 15:51
13 Marejeleo ya Msalaba  

Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, mimi si kitu.


Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea.


Lakini sasa Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao waliolala.


baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala;


bali twanena hekima ya Mungu katika siri, ile hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliiazimu tangu milele, kwa utukufu wetu;


Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakili wa siri za Mungu.


Maana katika nyumba hii twaugua, tukitamani sana kuvikwa kao letu litokalo mbinguni;


Kwa sababu sisi tulio katika maskani hii twapumua kwa shida, tukilemewa; si kwamba twataka kuvuliwa, bali kuvikwa, ili kitu kile kipatikanacho na mauti kimezwe na uzima.


akiisha kutujulisha siri ya mapenzi yake, kulingana na radhi yake aliyoikusudia katika yeye huyo.


ya kwamba kwa kufunuliwa nilijulishwa siri hiyo, kama nilivyotangulia kuandika kwa maneno machache.


Siri hiyo ni kubwa; ila mimi nanena habari ya Kristo na kanisa.


atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake.