Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 4:2 - Swahili Revised Union Version

Na hawa ndio wakuu aliokuwa nao; Azaria mwana wa Sadoki, kuhani,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na wafuatao walikuwa baadhi ya maofisa wake wa vyeo vya juu: Azaria, mwana wa Sadoki, alikuwa kuhani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na wafuatao walikuwa baadhi ya maofisa wake wa vyeo vya juu: Azaria, mwana wa Sadoki, alikuwa kuhani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na wafuatao walikuwa baadhi ya maofisa wake wa vyeo vya juu: Azaria, mwana wa Sadoki, alikuwa kuhani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawa walikuwa maafisa wake wakuu: Kuhani: Azaria mwana wa Sadoki;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawa ndio waliokuwa maafisa wake wakuu: Kuhani: Azaria mwana wa Sadoki;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hawa ndio wakuu aliokuwa nao; Azaria mwana wa Sadoki, kuhani,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 4:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mfalme Sulemani akawa mfalme juu ya Israeli wote.


wa Lawi, Hashabia mwana wa Kemueli; wa Haruni, Sadoki;


Zaidi ya hayo utajipatia katika watu hawa watu walio na uwezo, wenye kumcha Mungu, watu wa kweli, wenye kuchukia mapato ya udhalimu; ukawaweka juu yao, wawe wakuu wa maelfu, na wakuu wa mamia, na wakuu wa hamsini hamsini, na wakuu wa kumi kumi;


Na Mungu ameweka wengine katika kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, aina za usaidizi, maongozi na aina za lugha.