Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 10:14 - Swahili Revised Union Version

Basi uzani wa dhahabu iliyomfikia Sulemani mwaka mmoja, ndio talanta mia sita sitini na sita,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila mwaka, Solomoni alipelekewa dhahabu kilo 22,000.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila mwaka, Solomoni alipelekewa dhahabu kilo 22,000.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila mwaka, Solomoni alipelekewa dhahabu kilo 22,000.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uzito wa dhahabu ambayo Sulemani alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta mia sita sitini na sita (666),

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uzito wa dhahabu ambayo Sulemani alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi uzani wa dhahabu iliyomfikia Sulemani mwaka mmoja, ndio talanta mia sita sitini na sita,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 10:14
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye mfalme Sulemani akampa malkia wa Sheba haja yake yote, kila alilotaka, zaidi ya hayo aliyopewa na Sulemani kwa ukarimu wake wa kifalme. Basi, akarudi akaenda zake katika nchi yake, yeye na watumishi wake.


Na mambo yale usiyoyaomba nimekupa, mali na fahari, hata hapatakuwa na mtu katika wafalme kama wewe, siku zako zote.


Wakafika Ofiri, wakachukua toka huko dhahabu, talanta mia nne na ishirini, wakamletea mfalme Sulemani.


tena nikajikusanyia fedha na dhahabu, na tunu za kifalme na za kutoka katika majimbo. Nikajipatia waimbaji, wanaume kwa wanawake, nao wale ambao wanadamu wanawatunuka, masuria wengi sana.