Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 10:4 - Swahili Revised Union Version

nao watakusalimu na kukupa mikate miwili; nawe utaipokea mikononi mwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Watakusalimia na kukupa mikate miwili, nawe utaipokea mikononi mwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Watakusalimia na kukupa mikate miwili, nawe utaipokea mikononi mwao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Watakusalimia na kukupa mikate miwili, nawe utaipokea mikononi mwao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watakusalimu na kukupa mikate miwili, ambayo utaipokea kutoka kwao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watakusalimu na kukupa mikate miwili, ambayo utaipokea kutoka kwao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nao watakusalimu na kukupa mikate miwili; nawe utaipokea mikononi mwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 10:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakageuka wakaenda kuko, wakafika katika nyumba ya huyo kijana Mlawi, huko nyumbani kwa Mika, kumwamkia.


Kisha utakwenda mbele kutoka hapo, na kufika kwenye mwaloni wa Tabori, na hapo watu watatu watakutana nawe, wanaokwea kumwendea Mungu huko Betheli, mmoja anachukua wana-mbuzi watatu, na mwingine anachukua mikate mitatu, na mwingine anachukua kiriba cha divai;


Baada ya hayo utafika Gibea ya Mungu, hapo palipo na ngome ya Wafilisti; kisha itakuwa, utakapofika mjini, utakutana na kundi la manabii wakishuka kutoka mahali pa juu, wenye kinanda, na tari, na kinubi, na filimbi mbele yao, nao watakuwa wakitabiri;


Yese akatwaa punda, wa kuchukua mikate, na kiriba cha divai, na mwana-mbuzi, akampelekea Sauli kwa mkono wa Daudi mwanawe.