Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Petro 2:3 - Swahili Revised Union Version

ikiwa mmeonja ya kwamba Bwana ni mwenye fadhili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mmegundua kwamba Bwana ni mwema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mmegundua kwamba Bwana ni mwema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mmegundua kwamba Bwana ni mwema.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ikiwa kweli mmeonja kwamba Bwana Isa ni mwema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ikiwa kweli mmeonja ya kwamba Bwana Isa ni mwema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ikiwa mmeonja ya kwamba Bwana ni mwenye fadhili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Petro 2:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani Mfalme wa utukufu? BWANA mwenye nguvu, hodari, BWANA hodari wa vita.


Onjeni muone ya kuwa BWANA yu mwema; Heri mtu yule anayemtumainia.


Nafsi yangu itakinai kama kushiba mafuta na vinono; Kinywa changu kitakusifu kwa midomo ya furaha.


Nao wakujuao jina lako wakutumaini Wewe, Maana Wewe, BWANA hukuwaacha wakutafutao.


Kama mpera kati ya miti ya msituni, Kadhalika mpendwa wangu kati ya vijana. Niliketi kivulini mwake kwa furaha, Na matunda yake niliyaonja kuwa matamu.


Maana wema wake, jinsi ulivyo mwingi! Na uzuri wake, jinsi ulivyo mwingi! Nafaka itawasitawisha vijana wanaume, Na divai mpya vijana wanawake.


Lakini wema wake Mungu Mwokozi wetu, na upendo wake kwa wanadamu, ulipofunuliwa, alituokoa;