Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 6:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nikajibu, nikamwuliza yule malaika aliyesema nami, Hawa ni nini, Bwana wangu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, nikamwuliza yule malaika aliyeongea nami, “Bwana, magari haya ya farasi yanamaanisha nini?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, nikamwuliza yule malaika aliyeongea nami, “Bwana, magari haya ya farasi yanamaanisha nini?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, nikamwuliza yule malaika aliyeongea nami, “Bwana, magari haya ya farasi yanamaanisha nini?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikamuuliza malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Hawa ni nani, bwana wangu?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nikamuuliza malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Hawa ni nani bwana wangu?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nikajibu, nikamwuliza yule malaika aliyesema nami, Hawa ni nini, Bwana wangu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 6:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo nikasema, Ee Bwana wangu, ni nini hawa? Basi yule malaika aliyesema nami akaniambia, Nitakuonesha ni nini hawa.


Nami nikajibu, nikamwambia yule malaika aliyesema nami, nikasema, Ee Bwana wangu, vitu hivi ni nini?


Ndipo nikamwambia yule malaika aliyesema nami, Hawa wanaipeleka wapi efa hii?