Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 4:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akanijibu, akasema, Hujui hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akaniambia, “Je, hujui?” Nami nikamjibu, “La, sijui Bwana!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akaniambia, “Je, hujui?” Nami nikamjibu, “La, sijui Bwana!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akaniambia, “Je, hujui?” Nami nikamjibu, “La, sijui Bwana!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akajibu, “Hujui kuwa haya ni nini?” Nikamjibu, “Hapana, bwana wangu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akajibu, “Hujui kuwa haya ni nini?” Nikamjibu, “Hapana, bwana wangu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akanijibu, akasema, Hujui hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 4:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na kwa mara ya pili, nikamwuliza, Ni nini haya matawi mawili ya mizeituni, ambayo kwa njia ya ile mifereji miwili ya dhahabu hutoa mafuta yao?


Nami nikajibu, nikamwambia yule malaika aliyesema nami, nikasema, Ee Bwana wangu, vitu hivi ni nini?


Ndipo malaika aliyesema nami akajibu, akaniambia, Hujui vitu hivi ni nini? Nikasema, La, Bwana wangu.