Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 1:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kisha BWANA akanionesha wafua chuma wanne.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha, Mwenyezi-Mungu akanionesha wafuachuma wanne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha, Mwenyezi-Mungu akanionesha wafuachuma wanne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha, Mwenyezi-Mungu akanionesha wafuachuma wanne.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Mwenyezi Mungu akanionesha mafundi wanne.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha bwana akanionyesha mafundi wanne.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha BWANA akanionesha wafua chuma wanne.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 1:20
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hiyo ukawatia katika mikono ya adui zao, waliowasumbua; na wakati wa shida yao, walipokulilia, uliwasikia kutoka mbinguni; na kwa wingi wa rehema zako ukawapa waokozi waliowaokoa kutoka mikononi mwa adui zao.


Mfua chuma hufanza shoka, hufanya kazi kwa makaa, huitengeneza sanamu kwa nyundo, huifanyiza kwa nguvu za mkono wake; naam, huona njaa, nguvu zake zikampungukia; asipokunywa maji huzimia.


Tena waokoaji watakwea juu ya mlima Sayuni ili kuuhukumu mlima wa Esau; na huo ufalme utakuwa ni mali ya BWANA.


Makomeo yako yatakuwa ya chuma na shaba; Na kadiri ya siku zako ndivyo zitakavyokuwa nguvu zako.


lakini hapo walipokwea kutoka Misri, na Israeli walipitia katika jangwa hadi Bahari ya Shamu, na Kadeshi;


Kisha akaenda nyikani na kuizunguka hiyo nchi ya Edomu, na nchi ya Moabu, nao wakapita upande wa mashariki mwa nchi ya Moabu, wakapiga kambi upande wa pili wa Arnoni; wala hawakuingia ndani ya mpaka wa Moabu, kwa maana Arnoni ilikuwa ni mpaka wa Moabu.


BWANA akawatuma Yerubaali, na Baraka, na Yeftha, na Samweli, akawaokoa ninyi kutoka kwa mikono ya adui zenu pande zote, nanyi mkakaa salama.