Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 1:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nami nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, pembe nne.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Katika maono mengine, niliona pembe nne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Katika maono mengine, niliona pembe nne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Katika maono mengine, niliona pembe nne.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha nikatazama juu, na pale mbele yangu nikaona pembe nne!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha nikatazama juu, na pale mbele yangu nikaona pembe nne!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, pembe nne.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 1:18
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na Sedekia mwana wa Kenaana akajifanyia pembe za chuma, akasema, BWANA asema hivi, Kwa hizo utawasukuma Washami, hata waharibike.


Katika siku za Peka mfalme wa Israeli akaja Tiglath-pileseri mfalme wa Ashuru, akatwaa Iyoni, na Abel-beth-maaka, na Yanoa, na Kedeshi, na Hazori, na Gileadi, na Galilaya, nchi yote ya Naftali; akawahamisha hao watu mpaka Ashuru.


Piga kelele tena, na kusema, BWANA wa majeshi asema hivi, Miji yangu itajawa na ufanisi tena; naye BWANA ataufariji Sayuni tena, atauchagua Yerusalemu tena.


Nami nikamwuliza yule malaika aliyesema nami, Nini hizi? Naye akanijibu, Hizi ndizo pembe zilizowatawanya watu wa Yuda, na Israeli, na Yerusalemu.


Kisha nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, mtu mwenye kamba ya kupimia mkononi mwake.


Basi, nikainua macho yangu tena, nikaona, na tazama, gombo la kitabu lirukalo.


Ndipo yule malaika aliyesema nami akatokea, akaniambia, Inua macho yako sasa, uone ni kitu gani kitokeacho.


Ndipo nikainua macho yangu, nikaona, na tazama, wanawake wawili walitokea, nao upepo ulikuwa katika mabawa yao; na mabawa yao yalikuwa kama mabawa ya korongo; wakaiinua ile efa kati ya dunia na mbingu.


Nikainua macho yangu tena, nikaona, na tazama, yanatokea magari ya vita manne, yanatoka kati ya milima miwili, na milima hiyo ilikuwa ni milima ya shaba.


Ikawa hapo Yoshua alipokuwa karibu na mji wa Yeriko, akainua macho yake na kuangalia juu, akaona ghafla mtu mmoja, mwanamume amesimama amemkabili naye alikuwa na upanga uliofutwa mkononi mwake; Yoshua akamwendea, na kumwambia, Je! Wewe u upande wetu, au upande wa adui zetu?