Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 92:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bali Wewe, BWANA, U Mtukufu hata milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

bali wewe, ee Mwenyezi-Mungu, u mkuu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

bali wewe, ee Mwenyezi-Mungu, u mkuu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

bali wewe, ee Mwenyezi-Mungu, u mkuu milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bali wewe, Ee Mwenyezi Mungu, utatukuzwa milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bali wewe, Ee bwana, utatukuzwa milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali Wewe, BWANA, U Mtukufu hata milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 92:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, BWANA atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.


Maana kama majani watakatika mara, Kama miche mibichi watanyauka.


Adui zangu wanataka kunimeza mchana kutwa, Maana ni wengi wanaonipiga vita.


Hata nilipoingia katika patakatifu pa Mungu, Nikautafakari mwisho wao.


Hakika Wewe huwaweka penye utelezi, Huwaangusha mpaka palipoharibika.


Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye Juu, juu ya nchi yote.


Kupita sauti ya maji mengi, maji makuu, Kupita mawimbi ya bahari yaumkayo, BWANA Aliye Juu ndiye mwenye ukuu.


Sasa najua ya kuwa BWANA ni mkuu kuliko miungu yote; naam, katika jambo hilo walilowatenda kwa ujeuri.


Ujapokuwa unaona maskini kuonewa, na hukumu na haki kuondolewa kwa jeuri katika jimbo, usilistaajabie jambo hilo; kwa sababu, Aliye Juu kuliko walio juu huangalia; Tena wako walio juu kupita hao.


Karibu wakati ule ule, Herode mfalme akanyosha mikono yake kuwatenda mabaya baadhi ya watu wa kanisa.