Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 90:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wewe, Bwana, umekuwa makao yetu, Kizazi baada ya kizazi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Bwana, tangu vizazi vyote, wewe umekuwa usalama wetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Bwana, tangu vizazi vyote, wewe umekuwa usalama wetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Bwana, tangu vizazi vyote, wewe umekuwa usalama wetu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bwana, wewe umekuwa makao yetu katika vizazi vyote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana, wewe umekuwa makao yetu katika vizazi vyote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wewe, Bwana, umekuwa makao yetu, Kizazi baada ya kizazi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 90:1
15 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, akatoka mtu wa Mungu katika Yuda kwa neno la BWANA, akafika Betheli. Naye Yeroboamu alikuwa akisimama penye madhabahu, afukize uvumba.


Uwe kwangu mwamba wa makazi yangu, Ngome imara ya wokovu wangu. Maana wewe, Ndiwe mwamba wangu na ngome yangu.


Fadhili za BWANA nitaziimba milele; Kwa kinywa changu nitavijulisha vizazi vyote uaminifu wako.


Aketiye mahali pa siri pake Aliye Juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.


Kwa kuwa Wewe BWANA ndiwe kimbilio langu; Umemfanya Aliye Juu kuwa makao yako.


Naye atakuwa ni mahali patakatifu; bali ni jiwe la kujikwaza na mwamba wa kujikwaa kwa nyumba za Israeli zote mbili, na mtego na tanzi kwa wenyeji wa Yerusalemu.


basi nena, Bwana MUNGU asema hivi, Ikiwa mimi nimewahamisha, wakae katika mataifa, na ikiwa mimi nimewatawanya katika nchi kadha wa kadha, pamoja na hayo nitakuwa patakatifu kwao kwa muda mchache, katika nchi zile walizozifika.


Ee BWANA, Mungu wangu, mtakatifu wangu, wewe si wa milele? Hatutakufa. Ee BWANA, umemwandikia hukumu, nawe, Ee Jabali, umemweka imara ili aadhibishwe.


Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu hukaa ndani yangu, nami hukaa ndani yake.


Hii ndiyo baraka ya Musa, huyo mtu wa Mungu, aliyowabarikia wana wa Israeli kabla ya kufa kwake.


Mungu wa milele ndiye makazi yako, Na mikono ya milele i chini yako. Na mbele yako amemsukumia mbali adui; Akasema, Angamiza.


Bali wewe, mtu wa Mungu, uyakimbie mambo hayo; ukafuate haki, utauwa, imani, upendo, subira, upole.


Nasi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini. Mungu ni upendo, naye akaaye katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.