Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 9:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bali BWANA atakaa milele, Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Mwenyezi-Mungu anatawala milele; ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Mwenyezi-Mungu anatawala milele; ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Mwenyezi-Mungu anatawala milele; ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu anatawala milele, ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana anatawala milele, ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali BWANA atakaa milele, Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 9:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Bali Wewe, BWANA utaketi ukimiliki milele, Na jina lako litakumbukwa na vizazi vyote.


BWANA ameweka kiti chake cha enzi mbinguni, Na ufalme wake unavitawala vitu vyote.


Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako, Fadhili na kweli zimo mbele za uso wako.


Kabla haijazaliwa milima, wala hujaiumba dunia, Na tangu milele hata milele ndiwe Mungu.


Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele.


Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.