Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 9:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nitafurahi na kukushangilia; Nitaliimbia sifa jina lako, Wewe Uliye juu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nitafurahi na kushangilia kwa sababu yako; nitaliimbia sifa jina lako, ewe Mungu Mkuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nitafurahi na kushangilia kwa sababu yako; nitaliimbia sifa jina lako, ewe Mungu Mkuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nitafurahi na kushangilia kwa sababu yako; nitaliimbia sifa jina lako, ewe Mungu Mkuu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitafurahi na kushangilia ndani yako. Nitaliimbia sifa jina lako, Ewe Uliye Juu Sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitafurahi na kushangilia ndani yako. Nitaliimbia sifa jina lako, Ewe Uliye Juu Sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nitafurahi na kukushangilia; Nitaliimbia sifa jina lako, Wewe Uliye juu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 9:2
18 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakushukuru kwa moyo wangu wote, Mbele ya miungu nitakuimbia zaburi.


Ili niitangaze sauti ya kushukuru, Na kuzisimulia kazi zako za ajabu.


Na sasa kichwa changu kitainuka Juu ya adui zangu wanaonizunguka. Nami nitatoa dhabihu za shangwe hemani mwake; Nitaimba, naam, nitamhimidi BWANA.


BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu. Moyo wangu umemtumaini, Nami nimesaidiwa; Basi, moyo wangu unashangilia, Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.


Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu, kwa Mungu aliye furaha yangu na shangwe yangu; Nitakusifu kwa kinubi, Ee MUNGU, Mungu wangu.


Nao wote wanaokukimbilia watafurahi; Watapiga kelele za furaha daima. Kwa kuwa Wewe unawahifadhi, Walipendao jina lako watakufurahia.


Nitamshukuru BWANA kwa kadiri ya haki yake; Nitaliimbia jina la BWANA aliye juu.


Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako YEHOVA, Ndiwe peke yako Uliye Juu, juu ya nchi yote.


Nitakusifu Wewe, Ee Bwana, Mungu wangu, Kwa moyo wangu wote, Nitalitukuza jina lako milele.


Ni neno jema kumshukuru BWANA, Na kuliimbia jina lako sifa, Ee Uliye Juu.


Kwa kuwa umenifurahisha, BWANA, Kwa kazi yako; nitashangilia Kwa ajili ya matendo ya mikono yako.


Wahubirieni mataifa habari za utukufu wake, Na watu wote habari za maajabu yake.


Enyi wenye haki, mfurahieni BWANA, Na kulishukuru jina lake takatifu.


Maana Wewe, BWANA, ndiwe Uliye juu, Juu sana kuliko nchi yote; Umetukuka sana juu ya miungu yote.


Kwa habari zako, Ee mfalme, Mungu Aliye Juu alimpa Nebukadneza, baba yako, ufalme, na ukuu, na fahari, na utukufu;


Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini.