Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 89:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ukumbuke, Ee Bwana, Wanavyosimangwa watumishi wako; Jinsi ninavyostahimili kifuani mwangu Masimango ya watu wengi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Bwana, ukumbuke anavyotukanwa mtumishi wako, jinsi nivumiliavyo matusi ya wasiokujua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Bwana, ukumbuke anavyotukanwa mtumishi wako, jinsi nivumiliavyo matusi ya wasiokujua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Bwana, ukumbuke anavyotukanwa mtumishi wako, jinsi nivumiliavyo matusi ya wasiokujua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa, jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa, jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ukumbuke, Ee Bwana, Wanavyosimangwa watumishi wako; Jinsi ninavyostahimili kifuani mwangu Masimango ya watu wengi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 89:50
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maana mvuto wa nyumba yako umenila, Na laumu zao wanaokulaumu zimenipata.


Ee BWANA, uyakumbuke hayo, adui amelaumu, Na watu wapumbavu wamelidharau jina lako.


Ee Mungu, usimame, ujitetee mwenyewe, Ukumbuke unavyotukanwa na mpumbavu mchana kutwa.


Wazao wako nitawaimarisha milele, Nitakijenga kiti chako cha enzi hata milele.


Kwa maana Kristo naye hakujipendeza mwenyewe; bali kama ilivyoandikwa, Matusi yao waliokutusi wewe yalinipata mimi.