Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 89:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Pia umeurudisha nyuma ukali wa upanga wake; Wala hukumsimamisha vitani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Silaha zake umezifanya butu; ukamwacha ashindwe vitani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Silaha zake umezifanya butu; ukamwacha ashindwe vitani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Silaha zake umezifanya butu; ukamwacha ashindwe vitani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umegeuza makali ya upanga wake, na hukumpa msaada katika vita.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Umegeuza makali ya upanga wake, na hukumpa msaada katika vita.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pia umeurudisha nyuma ukali wa upanga wake; Wala hukumsimamisha vitani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 89:43
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ukitaka kwenda, haya, jitie nguvu upigane; Mungu atakuangusha mbele ya adui; maana Mungu anazo nguvu za kusaidia, na kuangusha.


Waturudisha nyuma tukampa mtesi kisogo, Na watuchukiao wanajipatia mateka.


BWANA ameyatenda aliyoyakusudia; amelitimiza neno lake, Aliloliamuru siku za kale; Ameangusha hata chini, Wala hakuona huruma; Naye amemfurahisha adui juu yako, Ameitukuza pembe ya watesi wako.


Msikwee, kwa kuwa BWANA hayumo kati yenu; msipigwe na kuangushwa mbele ya adui zenu.


Ndipo Mwamaleki, na Mkanaani waliokaa huko mlimani, wakateremka, wakawapiga na kuwaangusha, hadi wakafika Horma.