Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 89:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Umeyabomoa maboma yake yote, Umezifanya ngome zake kuwa magofu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuta zote za mji wake umezibomoa; ngome zake umezivunjavunja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuta zote za mji wake umezibomoa; ngome zake umezivunjavunja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuta zote za mji wake umezibomoa; ngome zake umezivunjavunja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umebomoa kuta zake zote, na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Umebomoa kuta zake zote, na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umeyabomoa maboma yake yote, Umezifanya ngome zake kuwa magofu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 89:40
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hata na zamani zile hakukuwa na amani kwake atokaye, wala kwake aingiaye, ila fadhaa kubwa juu yao wote wakaao katika nchi.


Wewe hukumzingira kwa ukigo pande zote, pamoja na nyumba yake, na vitu vyote alivyo navyo? Kazi za mikono yake umezibarikia, nayo mali yake imeongezeka katika nchi.


Amenivua utukufu wangu, Na kuiondoa taji kichwani mwangu.


Kwa nini umezibomoa kuta zake, Wakauchuma wote wapitao njiani?


Bwana ameyameza makao yote ya Yakobo, Wala hakuona huruma; Ameziangusha ngome za binti Yuda Katika ghadhabu yake; Amezibomoa hata nchi Ameunajisi ufalme na wakuu wake.


Bwana amekuwa mfano wa adui, Amemmeza Israeli; Ameyameza majumba yake yote, Ameziharibu ngome zake; Tena amemzidishia binti Yuda Matanga na maombolezo.


Nami nitamwaga ghadhabu yangu juu yako; nitakupulizia moto wa hasira yangu; nami nitakutia katika mikono ya watu walio kama hayawani, wajuao sana kuangamiza.