Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 89:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mimi sitalivunja agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sitavunja agano langu naye, wala kubatili neno nililotamka kwa mdomo wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sitavunja agano langu naye, wala kubatili neno nililotamka kwa mdomo wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sitavunja agano langu naye, wala kubatili neno nililotamka kwa mdomo wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mimi sitavunja agano langu wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mimi sitavunja agano langu wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi sitalivunja agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 89:34
11 Marejeleo ya Msalaba  

lakini fadhili zangu hazitamwondoka, kama vile nilivyomwondolea Sauli, niliyemwondoa mbele yako.


Tena nitawatesa wazao wa Daudi kwa sababu hii, lakini si daima.


Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu; wala sitamwondolea fadhili zangu, kama nilivyomwondolea yeye aliyekuwa kabla yako;


Usituchukie, kwa ajili ya jina lako; usikifedheheshe kiti cha enzi cha utukufu wako, kumbuka, usilivunje agano ulilofanya nasi.


BWANA asema hivi, Kama mkiweza kulivunja agano langu la mchana, na agano langu la usiku, hata usiwepo tena mchana na usiku kwa wakati wake,


Lakini pamoja na hayo yote, watakapokuwa katika nchi ya adui zao, mimi, sitawatupa, wala sitawachukia, niwaangamize kabisa, na kulivunja agano langu pamoja nao; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wao;


Kwa kuwa mimi, BWANA, sina kigeugeu; ndio maana ninyi hamkuangamizwa, enyi wana wa Yakobo.


Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


Kwa sababu karama za Mungu hazina majuto, wala mwito wake.


Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.