Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 89:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hata milele nitamwekea fadhili zangu, Na agano langu naye litadumu hata milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Fadhili zangu nitamwekea milele, na agano langu kwake litadumu daima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Fadhili zangu nitamwekea milele, na agano langu kwake litadumu daima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Fadhili zangu nitamwekea milele, na agano langu kwake litadumu daima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitadumisha upendo wangu kwake milele, na agano langu naye litakuwa imara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitadumisha upendo wangu kwake milele, na agano langu naye litakuwa imara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata milele nitamwekea fadhili zangu, Na agano langu naye litadumu hata milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 89:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Sivyo ilivyo nyumba yangu mbele za BWANA? Kwa kuwa amefanya nami agano la milele; Ina taratibu katika yote, ni thabiti, Maana ni wokovu wangu wote, na shauku langu lote.


Amewapa wamchao chakula; Atalikumbuka agano lake milele.


Amewapelekea watu wake ukombozi, Ameamuru agano lake liwe la milele, Jina lake ni takatifu na la kuogopwa.


Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa; bali wema wangu hautaondoka kwako, wala agano langu la amani halitaondolewa; asema BWANA akurehemuye.


Tegeni masikio yenu, na kunijia; Sikieni, na nafsi zenu zitaishi; Nami nitafanya nanyi agano la milele, Naam, rehema za Daudi zilizo imara.