Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 89:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nitaweka mkono wake juu ya bahari, Na mkono wake wa kulia juu ya mito.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nitaimarisha nguvu na utawala wake, toka bahari hata mito.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nitaimarisha nguvu na utawala wake, toka bahari hata mito.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nitaimarisha nguvu na utawala wake, toka bahari hata mito.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitauweka mkono wake juu ya bahari, mkono wake wa kuume juu ya mito.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitauweka mkono wake juu ya bahari, mkono wake wa kuume juu ya mito.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nitaweka mkono wake juu ya bahari, Na mkono wake wa kuume juu ya mito.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 89:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Sulemani akatawala juu ya falme zote, toka Mto mpaka nchi ya Wafilisti, na hata mpaka wa Misri; walimletea tunu, na kumtumikia Sulemani siku zote za maisha yake.


Hapo nitamchipushia Daudi pembe, Na taa nimemtengenezea masihi wangu.


Uniombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako, Na miisho ya dunia kuwa milki yako.


Nao uliyaeneza matawi yake hadi baharini, Na vichipukizi vyake hadi kunako Mto.


Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele.


Washindanao na BWANA watapondwa kabisa; Toka mbinguni yeye atawapigia radi; BWANA ataihukumu dunia yote; Naye atampa mfalme wake nguvu, Na kuitukuza pembe ya masihi wake.