Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 89:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bali nitawaponda watesi wake mbele yake, Nitawapiga wanaomchukia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi nitawaponda wapinzani wake; nitawaangamiza wote wanaomchukia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi nitawaponda wapinzani wake; nitawaangamiza wote wanaomchukia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi nitawaponda wapinzani wake; nitawaangamiza wote wanaomchukia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitawaponda adui zake mbele zake na kuwaangamiza watesi wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitawaponda adui zake mbele zake na kuwaangamiza watesi wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali nitawaponda watesi wake mbele yake, Nitawapiga wanaomchukia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 89:23
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kulikuwa na vita siku nyingi kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi; Daudi akaendelea akasitawi, lakini nyumba ya Sauli ikaendelea kudhoofika.


Ikawa, mfalme alipokuwa akikaa katika nyumba yake, hapo BWANA alipomstarehesha, asiudhiwe na adui zake waliomzunguka pande zote,


nami nimekuwa pamoja nawe kila ulikokwenda, na kuwakatilia mbali adui zako wote mbele yako; nami nitakufanyia jina kuu, kama jina la wakuu walioko duniani.


Naam, kwa maneno ya chuki wamenizunguka, Wamepigana nami bure.


Adui zake nitawavika aibu, Bali juu yake taji lake litasitawi.


Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Nao walionichukia nimewakatilia mbali.


Lakini watu wa mji wake walimchukia, wakatuma wajumbe kumfuata na kusema, Hatumtaki huyu atutawale.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.


Yeye anichukiaye mimi humchukia na Baba yangu.