Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 89:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Adui hatamwonea, Wala mwana wa uovu hatamtesa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maadui hawataweza kumshinda, wala waovu hawatamnyanyasa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maadui hawataweza kumshinda, wala waovu hawatamnyanyasa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maadui hawataweza kumshinda, wala waovu hawatamnyanyasa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakuna adui atakayemtoza ushuru, hakuna mtu mwovu atakayemtesa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakuna adui atakayemtoza ushuru, hakuna mtu mwovu atakayemwonea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Adui hatamwonea, Wala mwana wa uovu hatamtesa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 89:22
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena nitawaagizia mahali watu wangu Israeli, nami nitawapanda, wapate kukaa mahali pao wenyewe, wasiondolewe tena; wala wana wa uovu hawatawatesa tena, kama hapo kwanza;


Tena nitawaagizia watu wangu Israeli mahali, nami nitawapanda, wapate kukaa mahali pao wenyewe, wasiondolewe tena; wala wana wa uovu hawatawatesa tena kama hapo kwanza,


Nilipokuwapo pamoja nao, mimi niliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie.


Mtu awaye yote asiwadanganye kwa njia yoyote; maana haiji, usipokuja kwanza ule ukengeufu; akafunuliwa yule mtu wa kuasi, mwana wa uharibifu;