Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 89:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa jina lako hufurahi mchana kutwa, Na kwa haki yako hutukuzwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafurahi mchana kutwa kwa sababu yako, na kukusifu kwa ajili ya uadilifu wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafurahi mchana kutwa kwa sababu yako, na kukusifu kwa ajili ya uadilifu wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafurahi mchana kutwa kwa sababu yako, na kukusifu kwa ajili ya uadilifu wako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa, wanafurahi katika haki yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa, wanafurahi katika haki yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa jina lako hufurahi mchana kutwa, Na kwa haki yako hutukuzwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 89:16
20 Marejeleo ya Msalaba  

Jisifuni kwa jina lake takatifu, Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.


Sauti ya BWANA yaivunja mierezi; Naam, BWANA aivunjavunja mierezi ya Lebanoni;


Sauti ya BWANA inatoa miale paa ya moto;


Maana mioyo yetu itamfurahia, Kwa kuwa tumelitumainia jina lake takatifu.


Sikusitiri haki yako moyoni mwangu; Nimetangaza uaminifu wako na wokovu wako. Sikuficha fadhili zako wala kweli yako Katika kusanyiko kubwa.


Tumejisifia Mungu mchana kutwa, Na jina lako tutalishukuru milele.


Kaskazini na kusini ndiwe uliyeziumba, Tabori na Hermoni hulifurahia jina lako.


Enyi wa nyumba ya Israeli, njoni, twende katika nuru ya BWANA.


Mimi ninaleta karibu haki yangu, haitakuwa mbali, na wokovu wangu hautakawia; nami nitaweka wokovu katika Sayuni kwa ajili ya Israeli, utukufu wangu.


Katika siku zake Yuda ataokolewa, na Israeli atakaa salama, na jina lake atakaloitwa ni hili, BWANA ni haki yetu.


Nawe utajihesabia Sabato saba za miaka, maana, miaka saba mara saba; zitakuwa ni siku za Sabato saba za miaka kwenu, maana miaka arubaini na tisa.


Ndipo utakapoipeleka pande zote hiyo baragumu yenye sauti kuu, siku ya kumi ya mwezi wa saba; katika siku hiyo ya upatanisho mtaipeleka baragumu katika nchi yenu yote.


Na roho yangu imemfurahia Mungu, Mwokozi wangu;


Kwa maana haki ya Mungu inadhihirishwa ndani yake, toka imani hadi imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki ataishi kwa imani.


Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye.


tena nionekane katika yeye, nisiwe na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani iliyo katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu, kwa imani;


Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini.