Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 88:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nimehesabiwa pamoja nao washukao shimoni; Nimekuwa kama mtu asiye na msaada.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ninaonekana kama mtu anayekufa, nguvu zangu zote zimeniishia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ninaonekana kama mtu anayekufa, nguvu zangu zote zimeniishia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ninaonekana kama mtu anayekufa, nguvu zangu zote zimeniishia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nimehesabiwa miongoni mwa wale wanaoshuka shimoni; niko kama mtu asiye na nguvu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni, niko kama mtu asiye na nguvu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimehesabiwa pamoja nao washukao shimoni; Nimekuwa kama mtu asiye na msaada.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 88:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Roho yangu imezimia, siku zangu zimekoma, Kaburi i tayari kunipokea.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Ee BWANA, nitakuita Ewe, mwamba wangu, Usiwe kwangu kama kiziwi. Nisije nikafanana nao washukao shimoni, Ikiwa umeninyamalia.


Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako?


Nimesahauliwa kama mfu asiyekumbukwa; Nimekuwa kama chombo kilichovunjika.


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Amenijaza uchungu, Amenikinaisha kwa pakanga.


ndipo nitakapokushusha pamoja nao washukao shimoni, uende kwa watu wa kale; nami nitakukalisha pande za chini za nchi; mahali palipokuwa ukiwa tangu zamani, pamoja nao washukao shimoni; ili usikaliwe na watu, wala usiweke utukufu wako katika nchi yao walio hai.


Nilishuka hata pande za chini za milima; Hiyo nchi ambayo mapingo yake yanafunga hata milele; Lakini umeipandisha nafsi yangu kutoka humo shimoni, Ee BWANA, Mungu wangu,


Kwa maana hapo tulipokuwa hatuna nguvu, wakati ulipotimia, Kristo alikufa kwa ajili ya waovu.


Naam, sisi wenyewe tulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumaini Mungu, awafufuaye wafu,


Maana, alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.