Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 88:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maombi yangu yafike mbele zako, Ukitegee kilio changu sikio lako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sala yangu ikufikie, usikilize kilio changu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sala yangu ikufikie, usikilize kilio changu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sala yangu ikufikie, usikilize kilio changu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maombi yangu yafike mbele zako, utegee kilio changu sikio lako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maombi yangu yafike mbele zako, utegee kilio changu sikio lako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maombi yangu yafike mbele zako, Ukitegee kilio changu sikio lako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 88:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa mtu amemkosa mwenzake, na kupewa sharti ya kiapo aapishwe, naye akija na kuapa hapa mbele ya madhabahu yako, katika nyumba hii;


Naamka kabla ya mapambazuko na kukuomba msaada, Naweka tumaini langu katika maneno yako.


Lakini Wewe U Mtakatifu, Utukuzwaye na sifa za Israeli.


Unitegee sikio lako, uniokoe hima. Uwe kwangu mwamba wa nguvu, Ngome thabiti ya kuniokoa.


Kuugua kwake aliyefungwa Na kuingie mbele zako. Kwa kadiri ya uweza wa mkono wako Uwahifadhi waliohukumiwa kufa.


Wewe, Bwana, unifadhili, Maana nakulilia Wewe mchana kutwa.


Naam, nikilia na kuomba msaada, Huyapinga maombi yangu.