Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 88:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Fadhili zako zitasimuliwa kaburini? Au uaminifu wako katika uharibifu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, fadhili zako zinatajwa kaburini, au uaminifu wako kwenye makao ya maangamizi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, fadhili zako zinatajwa kaburini, au uaminifu wako kwenye makao ya maangamizi?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, fadhili zako zinatajwa kaburini, au uaminifu wako kwenye makao ya maangamizi?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, upendo wako hutangazwa kaburini, uaminifu wako katika Uharibifu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, upendo wako hutangazwa kaburini, uaminifu wako katika Uharibifu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Fadhili zako zitasimuliwa kaburini? Au uaminifu wako katika uharibifu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 88:11
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwamba mwovu huachiliwa katika siku ya msiba? Na kuongozwa nje katika siku ya ghadhabu?


Kaburi li wazi mbele yake, Uharibifu nao hauna kifuniko.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Nimechoka kwa kuugua kwangu; Kila usiku nakibubujikia kitanda changu; Nililowesha godoro langu kwa machozi yangu.


Hakika Wewe huwaweka penye utelezi, Huwaangusha mpaka palipoharibika.


Kuzimu na Uharibifu viko wazi mbele za BWANA; Si zaidi basi, mioyo ya wanadamu?


Wafu wako wataishi, maiti zangu zitafufuka; amkeni, kaimbeni, ninyi mnaokaa mavumbini, kwa maana umande wako ni kama umande wa mimea, nayo ardhi itawatoa waliokufa.


Akaniambia, Mwanadamu, je! Mifupa hii yaweza kuishi? Nami nikajibu, Ee Bwana MUNGU, wajua wewe.


Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.


Ni nini basi, ikiwa Mungu kwa kutaka kuonesha ghadhabu yake, na kuudhihirisha uweza wake, kwa uvumilivu mwingi, alichukuliana na vile vyombo vya ghadhabu vilivyokuwa karibu kuharibiwa;


Lakini kulitokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia.