Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 86:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Siku ya mateso yangu nitakuita, Kwa maana utaniitikia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku za taabu nakuita, maana wewe waniitikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku za taabu nakuita, maana wewe waniitikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku za taabu nakuita, maana wewe waniitikia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika siku ya shida yangu nitakuita, kwa maana wewe utanijibu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika siku ya shida yangu nitakuita, kwa maana wewe utanijibu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku ya mateso yangu nitakuita, Kwa maana utaniitikia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 86:7
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sauti yangu nitamlilia BWANA, Kwa sauti yangu nitamwomba BWANA dua.


Roho yangu inapozimia unayajua mapito yangu; Katika njia niendayo wamenifichia mtego.


Ee Mungu, nimekuita kwa maana utaitika, Utege sikio lako ulisikie neno langu.


Katika shida yangu nilimwita BWANA, Na kumlalamikia Mungu wangu. Akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;


BWANA, katika taabu zao walikwenda kwako; waliomba maombi mengi wakati adhabu yako ilipokuwa juu yao.


Akasema, Nilimlilia BWANA kwa sababu ya shida yangu, Naye akaniitikia; Katika tumbo la kuzimu niliomba, Nawe ukasikia sauti yangu.


Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; jasho yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.]


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;