Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 86:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee BWANA, uyasikie maombi yangu; Uisikilize sauti ya dua zangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mwenyezi-Mungu, uitegee sikio sala yangu; ukisikie kilio cha ombi langu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mwenyezi-Mungu, uitegee sikio sala yangu; ukisikie kilio cha ombi langu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mwenyezi-Mungu, uitegee sikio sala yangu; ukisikie kilio cha ombi langu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mwenyezi Mungu, sikia maombi yangu, sikiliza kilio changu unihurumie.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee bwana, sikia maombi yangu, sikiliza kilio changu unihurumie.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee BWANA, uyasikie maombi yangu; Uisikilize sauti ya dua zangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 86:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Bwana, nakusihi, litege sikio lako, uyasikilize maombi ya mtumishi wako, na maombi ya watumishi wako, wanaofurahi kulicha jina lako; nakuomba sana; unifanikishe mimi, mtumishi wako, leo, ukanijalie rehema mbele ya mtu huyu. (Maana, nilikuwa mnyweshaji wa mfalme).


Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu.


Ee BWANA, usikie haki, ukisikilize kilio changu, Utege sikio lako kwa maombi yangu, Yasiyotoka katika midomo ya hila.


Ee Mungu, uisikilize sala yangu, Wala usijifiche nikuombapo rehema.