Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 86:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Uifurahishe nafsi ya mtumishi wako, Maana nafsi yangu nakuinulia Wewe, Bwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uifurahishe roho yangu mimi mtumishi wako, maana sala zangu nazielekeza kwako ee Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uifurahishe roho yangu mimi mtumishi wako, maana sala zangu nazielekeza kwako ee Bwana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uifurahishe roho yangu mimi mtumishi wako, maana sala zangu nazielekeza kwako ee Bwana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mpe mtumishi wako furaha, kwa kuwa kwako wewe, Ee Bwana, ninainua nafsi yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpe mtumishi wako furaha, kwa kuwa kwako wewe, Ee bwana, ninainua nafsi yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uifurahishe nafsi ya mtumishi wako, Maana nafsi yangu nakuinulia Wewe, Bwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 86:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Uniwezeshe kusikia fadhili zako asubuhi, Kwa maana nimekutumaini Wewe. Unifundishe njia nitakayoiendea, Kwa maana ninakuinulia nafsi yangu.


Ee BWANA, nakuinulia nafsi yangu,


Unirudishie furaha ya wokovu wako; Unitegemeze kwa roho ya upendo.


Enyi watu, mtumainini sikuzote, Ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.


kuwaagizia hao waliao katika Sayuni, wapewe taji la maua badala ya majivu, mafuta ya furaha badala ya maombolezo, vazi la sifa badala ya roho nzito; wapate kuitwa miti ya haki, iliyopandwa na BWANA, ili atukuzwe.


Lakini furahini, mkashangilie daima, kwa ajili ya hivi niviumbavyo; maana, tazama, naumba Yerusalemu uwe shangwe, na watu wake wawe furaha.