Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 85:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Utatufanyia hasira hata milele? Utadumisha ghadhabu kizazi hadi kizazi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, utatukasirikia hata milele? Je, utadumisha ghadhabu yako kwa vizazi vyote?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, utatukasirikia hata milele? Je, utadumisha ghadhabu yako kwa vizazi vyote?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, utatukasirikia hata milele? Je, utadumisha ghadhabu yako kwa vizazi vyote?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, utatukasirikia milele? Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, utatukasirikia milele? Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Utatufanyia hasira hata milele? Utadumisha ghadhabu kizazi hadi kizazi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 85:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Umewaonesha watu wako mazito, Na kutunywesha mvinyo ya kutuyumbisha.


Ee Mungu, mbona umetutupa milele? Kwa nini hasira yako inatoka moshi Juu ya kondoo wa malisho yako?


Mungu amesahau fadhili zake? Amezuia kwa hasira rehema zake?


Ee BWANA, hadi lini? Utaona hasira milele? Wivu wako utawaka kama moto?


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, hadi lini Utayaghadhibikia maombi ya watu wako?


Hadi lini, Ee BWANA? Utajificha hata milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hadi lini?


Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye kusamehe uovu, na kuliachilia kosa la watu wa urithi wake waliosalia? Hadumishi hasira yake milele, kwa maana yeye hufurahia rehema.


Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.


Wataanguka kwa ukali wa upanga, nao watatekwa nyara na kuchukuliwa katika mataifa yote; na Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hadi majira ya Mataifa yatakapotimia.


ndipo ikawashwa hasira ya BWANA juu ya nchi hii, kwa kuleta juu yake laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki;