Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 85:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kweli itachipuka katika nchi, Haki itachungulia kutoka mbinguni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uaminifu utachipuka katika nchi; uadilifu utashuka toka mbinguni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uaminifu utachipuka katika nchi; uadilifu utashuka toka mbinguni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uaminifu utachipuka katika nchi; uadilifu utashuka toka mbinguni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uaminifu huchipua kutoka nchi, haki hutazama chini kutoka mbinguni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uaminifu huchipua kutoka nchi, haki hutazama chini kutoka mbinguni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kweli itachipuka katika nchi, Haki itachungulia kutoka mbinguni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 85:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Milimana iwaletee watu amani, Na pamoja na vilima, ilete haki.


Siku hiyo chipukizi la BWANA litakuwa zuri, lenye utukufu, na matunda ya nchi yatakuwa mema sana, na kupendeza, kwa ajili ya Waisraeli wale waliookoka.


BWANA akapendezwa, kwa ajili ya haki yake, kuitukuza sheria, na kuiadhimisha.


Dondokeni, enyi mbingu, toka juu, Mawingu na yamwage haki; Nchi na ifunuke, ili kutoa wokovu, Nayo itoe haki ikamee pamoja; Mimi, BWANA, nimeiumba.


Maana alikuwa mbele zake kama mche mwororo, Na kama mzizi katika nchi kavu; Yeye hana umbo wala uzuri; Na tumwonapo hana uzuri hata tumtamani.


Alipokuwa bado akisema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.


na tazama, sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.


Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye.


Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa.