Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 83:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Gebali, na Amoni, na Amaleki, Na Filisti, nao wanaokaa Tiro,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

watu wa Gebali, Amoni na Amaleki, watu wa Filistia na wakazi wa Tiro.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

watu wa Gebali, Amoni na Amaleki, watu wa Filistia na wakazi wa Tiro.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

watu wa Gebali, Amoni na Amaleki, watu wa Filistia na wakazi wa Tiro.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Gebali, Amoni na Amaleki, Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Gebali, Amoni na Amaleki, Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Gebali, na Amoni, na Amaleki, Na Filisti, nao wanaokaa Tiro,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 83:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika siku za Sauli wakapigana vita na Wahajiri, ambao waliangushwa kwa mikono yao; nao wakakaa katika hema zao katika nchi yote upande wa mashariki wa Gileadi.


umwambie Tiro, Ewe ukaaye penye maingilio ya bahari, uliye mchuuzi wa watu wa kabila nyingi, mpaka visiwa vingi, Bwana MUNGU asema hivi; Wewe, Tiro, umesema, Mimi ni ukamilifu wa uzuri.


Wazee wa Gebali na wenye akili wake walikuwa ndani yako, wenye kutia kalafati; merikebu zote za bahari na mabaharia wao walikuwa ndani yako, ili kubadiliana biashara yako.


Haya ndiyo asemayo BWANA; Kwa makosa matatu ya Tiro, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu wameitia kabila nzima katika mikono ya Edomu, wala hawakulikumbuka agano la udugu;


na nchi ya Wagebali na Lebanoni yote, upande wa mashariki ya jua, kutoka Baal-gadi ulio chini ya mlima wa Hermoni mpaka kufikia maingilio ya Hamathi;


BWANA wa majeshi asema hivi, Nimeyatia moyoni mwangu yale ambayo Waamaleki waliwatenda Waisraeli, jinsi walivyowapinga njiani, hapo walipopanda kutoka Misri.


[Ikawa siku zile Wafilisti walikusanyika ili kupigana na Israeli,] nao Waisraeli wakatoka juu ya Wafilisti kwenda vitani; wakatua karibu na Ebenezeri, nao Wafilisti wakatua huko Afeki.