Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 83:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hema za Edomu, na Waishmaeli, Na Moabu, na Wahagari,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wa Edomu na Waishmaeli, Wamoabu na watu wa Hagari;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wa Edomu na Waishmaeli, Wamoabu na watu wa Hagari;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

watu wa Edomu na Waishmaeli, Wamoabu na watu wa Hagari;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

mahema ya Edomu na Waishmaeli, ya Wamoabu na Wahagari,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

mahema ya Edomu na Waishmaeli, ya Wamoabu na Wahagari,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hema za Edomu, na Waishmaeli, Na Moabu, na Wahagari,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 83:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika siku za Sauli wakapigana vita na Wahajiri, ambao waliangushwa kwa mikono yao; nao wakakaa katika hema zao katika nchi yote upande wa mashariki wa Gileadi.


Baada ya hayo, wana wa Moabu, na wana wa Amoni, pamoja nao baadhi ya Wameuni, wakaja juu ya Yehoshafati vitani.


Ee BWANA, uwakumbuke wana wa Edomu, Siku ile Yerusalemu ilipotekwa. Kwa namna walivyosema, Bomoeni! Bomoeni hata misingini!


Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya BWANA, Na juu ya masihi wake,


Na Moabu ataangamizwa, asiwe taifa tena, kwa sababu alijitukuza juu ya BWANA.


Huyo Egloni akakutanisha kwake wana wa Amoni na Amaleki; akaenda na kuwapiga Israeli, nao wakauchukua huo mji wa mitende.