Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 83:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Juu ya watu wako wanafanya hila, Na kushauriana juu yao uliowaficha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanapanga kwa hila kuwadhuru watu wako; wanashauriana dhidi ya hao unaowalinda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanapanga kwa hila kuwadhuru watu wako; wanashauriana dhidi ya hao unaowalinda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanapanga kwa hila kuwadhuru watu wako; wanashauriana dhidi ya hao unaowalinda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa ujanja, wanapanga njama dhidi ya watu wako; wanapanga hila dhidi ya wale unaowapenda.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako, wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Juu ya watu wako wanafanya hila, Na kushauriana juu yao uliowaficha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 83:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Huotea faraghani kama simba pangoni, Huotea amkamate mtu mnyonge. Naam, humkamata mtu mnyonge, Na kumkokota akiwa wavuni mwake.


Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?


Maana atanisitiri bandani mwake siku ya mabaya, Atanisitiri katika sitara ya hema yake, Na kuniinua juu ya mwamba.


Utawasitiri kutoka kwa fitina za watu Katika maficho ya kuwapo kwako; Utawaficha katika hema Na ushindani wa ndimi.


Hukutanika, hujificha, huziangalia nyayo zangu, Kwa kuwa waliniotea ili waniue.


Unifiche mbali na njama za watenda mabaya, Mbali na mipango ya watu wafanyao maovu;


Aketiye mahali pa siri pake Aliye Juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.


Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.


Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.


Basi, hakukuwa mhunzi yeyote katika nchi yote ya Israeli; kwa kuwa Wafilisti walisema, Waebrania wasije wakajitengenezea panga au mikuki;