Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 83:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu, usistarehe, Ee Mungu, usinyamae, wala usitulie.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mungu, usikae kimya! Usinyamaze ee Mungu, wala usitulie!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mungu, usikae kimya! Usinyamaze ee Mungu, wala usitulie!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mungu, usikae kimya! Usinyamaze ee Mungu, wala usitulie!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, usikae kimya, usinyamaze, Ee Mungu, usikae mbali.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, usinyamaze kimya, usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu, usistarehe, Ee Mungu, usinyamae, wala usitulie.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 83:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, nitakuita Ewe, mwamba wangu, Usiwe kwangu kama kiziwi. Nisije nikafanana nao washukao shimoni, Ikiwa umeninyamalia.


Wewe, BWANA, umeona, usinyamaze; Ee Bwana, usiwe mbali nami.


Amka, Bwana, mbona umelala? Ondoka, usitutupe milele.


Mungu, Mungu BWANA, amenena, ameiita nchi, Toka maawio ya jua hadi machweo yake.


Mungu wetu atakuja wala sio kimya kimya, Moto utakula mbele zake, na tufani yavuma sana ikimzunguka pande zote.


Siku nyingi nimenyamaza kimya; nimenyamaza, nikajizuia; sasa nitapiga kelele kama mwanamke aliye katika kuzaa; nitaugua na kutweta pamoja.