Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 82:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu, usimame, uihukumu nchi, Maana mataifa yote ni yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Inuka ee Mungu, uuhukumu ulimwengu; maana mataifa yote ni mali yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Inuka ee Mungu, uuhukumu ulimwengu; maana mataifa yote ni mali yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Inuka ee Mungu, uuhukumu ulimwengu; maana mataifa yote ni mali yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, inuka uihukumu nchi, kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, inuka uihukumu nchi, kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu, usimame, uihukumu nchi, Maana mataifa yote ni yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 82:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe mwenyewe utasimama, Na kuirehemu Sayuni, Kwa maana ndio wakati wa kuihurumia, Naam, majira yaliyoamriwa yamewadia.


Kwa ajili ya kuonewa kwao wanyonge, Kwa ajili ya kuugua kwao wahitaji, Sasa nitasimama, asema BWANA, Nitamweka salama yeye wanayemfyonya.


Uniombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako, Na miisho ya dunia kuwa milki yako.


Maana ufalme ni wa BWANA, Naye ndiye awatawalaye mataifa.


Uinuke, uwe msaada wetu, Utukomboe kwa ajili ya fadhili zako.


BWANA uondoke kwa hasira yako; Ujiinue Juu ya ujeuri wa watesi wangu; Uamke kwa ajili yangu; Umeamuru hukumu.


Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Mwenye kuihukumu nchi, ujitukuze, Uwape wenye kiburi stahili zao.


Mbele za BWANA, kwa maana anakuja, Kwa maana anakuja aihukumu nchi. Atauhukumu ulimwengu kwa haki, Na mataifa kwa uaminifu wake.


Amka, amka, jivike nguvu, Ee mkono wa Bwana; Amka kama katika siku zile za kale, Katika vizazi vile vya zamani.


Mtu amchaye Mungu ametoweka, asionekane katika nchi, wala hapana mtu mwenye adili katika wanadamu; wote huotea ili kumwaga damu; kila mtu humwinda ndugu yake kwa wavu.


Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.


Basi ningojeeni, asema BWANA, hata siku ile nitakapoondoka kuteka mateka; maana nimeazimia kuwakusanya mataifa, ili nizikutanishe falme, nipate kuwamwagia ghadhabu yangu; naam, ukali wote wa hasira yangu; kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa wivu wangu.


Malaika wa saba akapiga baragumu, pakawa na sauti kuu katika mbingu, zikisema, Ufalme wa dunia umekwisha kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atamiliki hata milele na milele.