Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 82:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini mtakufa kama wanadamu, Mtaanguka kama mmoja wa wakuu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata hivyo, mtakufa kama watu wote; mtaanguka kama mkuu yeyote.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata hivyo, mtakufa kama watu wote; mtaanguka kama mkuu yeyote.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata hivyo, mtakufa kama watu wote; mtaanguka kama mkuu yeyote.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida; mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida; mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini mtakufa kama wanadamu, Mtaanguka kama mmoja wa wakuu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 82:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Pamoja na hayo atachukuliwa kaburini, Nao watalinda zamu juu ya kaburi lake.


Lakini mwanadamu hadumu katika heshima, Bali amefanana na wanyama wapoteao.


Uwafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu, Na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.


Je! Utazidi kusema mbele yake huyo akuuaye, Mimi ni mungu? Lakini u mwanadamu, wala si Mungu, mkononi mwake akutiaye jeraha.


ili mti wowote, ulio karibu na maji, usijitukuze kwa sababu ya kimo chake, wala usitie kilele chake kati ya mawingu, wala mashujaa wake wasisimame katika kimo chao kirefu, naam, wote wanywao maji; maana wote wametolewa wafe, waende pande za chini za nchi, kati ya wanadamu, pamoja nao washukao shimoni.