Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 82:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwokoeni maskini na mhitaji; Mwopoeni mikononi mwa wadhalimu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waokoeni wanyonge na maskini, waokoeni makuchani mwa wadhalimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waokoeni wanyonge na maskini, waokoeni makuchani mwa wadhalimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waokoeni wanyonge na maskini, waokoeni makuchani mwa wadhalimu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwokoeni maskini na mhitaji; Mwopoeni mikononi mwa wadhalimu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 82:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu nilimwokoa maskini aliyenililia; Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.


Najua ya kuwa BWANA atamfanyia mnyonge hukumu, Na wahitaji haki yao.


BWANA asema hivi, Fanyeni hukumu na haki, mkamtoe yeye aliyetekwa katika mikono ya mdhalimu; wala msiwatende mabaya mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kuwadhulumu, wala msimwage damu ya mtu asiye na hatia katika mahali hapa.