Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 82:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hadi lini mtahukumu kwa dhuluma, Na kuzikubali nyuso za wabaya?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mpaka lini mtaendelea kuhukumu bila haki na kuwapendelea watu waovu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mpaka lini mtaendelea kuhukumu bila haki na kuwapendelea watu waovu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mpaka lini mtaendelea kuhukumu bila haki na kuwapendelea watu waovu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonesha upendeleo kwa waovu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki na kuonyesha upendeleo kwa waovu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hadi lini mtahukumu kwa dhuluma, Na kuzikubali nyuso za wabaya?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 82:2
16 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Eliya akawakaribia watu wote, akanena, Mtasitasita katikati ya mawazo mawili hata lini? BWANA akiwa ndiye Mungu, mfuateni; bali ikiwa Baali ni Mungu, haya! Mfuateni yeye. Wale watu hawakumjibu neno.


Basi sasa hofu ya BWANA na iwe juu yenu; aiweni waangalifu katika jambo mtendalo, kwa maana kwa BWANA, Mungu wetu hakuna upotoshaji wala kupendelea nafsi za watu au kupokea rushwa.


Tafadhali, nisiupendelee uso wa mtu; Wala sitajipendekeza kwa mtu yeyote.


Sembuse yeye huwajali nyuso za wakuu, Wala hawajali matajiri kuliko maskini? Kwani wote ni kazi ya mikono yake,


Hadi lini mtamshambulia mtu, Mpate kumwua ninyi nyote pamoja? Kama ukuta unaoinama, Kama ua ulio tayari kuanguka,


Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, na kumwambia, BWANA, Mungu wa Waebrania, asema hivi, Je! Utakataa hata lini kujinyenyekeza mbele zangu? Wape watu wangu ruhusa waende zao, ili wanitumikie.


Kukubali uso wake asiye haki si vizuri; Wala kumpotosha mwenye haki hukumuni.


Bwana MUNGU asema hivi; Na iwatoshe ninyi, enyi wakuu wa Israeli; ondoeni dhuluma na unyang'anyi; fanyeni hukumu na haki; acheni kutoza kwenu kwa nguvu katika watu wangu, asema Bwana MUNGU.


Msitende yasiyo haki katika hukumu, usimpendelee mtu maskini, wala kumstahi mwenye nguvu; bali utamhukumu jirani yako kwa haki.


Yesu akajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, kilichopotoka, nitakaa pamoja nanyi hadi lini? Nitachukuliana nanyi hadi lini? Mleteni huku kwangu.


Lakini wale viongozi waliosifika kuwa wana cheo; (walivyokuwa vyovyote ni mamoja kwangu; Mungu hapokei uso wa mwanadamu); nasema, hao waliosifika hawakuniongezea kitu;


Msitazame nafsi za watu katika hukumu; muwasikize wadogo na wakubwa sawasawa; msiche uso wa mtu yeyote; kwa kuwa hukumu ni ya Mungu; na lile neno liwashindalo mniletee mimi, nami nitalisikiza.