Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 82:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mungu asimama katika kusanyiko la Mungu; Katikati ya miungu anahukumu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu anasimamia baraza lake; anatoa hukumu katika kusanyiko la miungu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu anasimamia baraza lake; anatoa hukumu katika kusanyiko la miungu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu anasimamia baraza lake; anatoa hukumu katika kusanyiko la miungu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu anaongoza kusanyiko kuu, anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mungu anaongoza kusanyiko kuu, anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu asimama katika kusanyiko la Mungu; Katikati ya miungu anahukumu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 82:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakushukuru kwa moyo wangu wote, Mbele ya miungu nitakuimbia zaburi.


Mungu, Mungu BWANA, amenena, ameiita nchi, Toka maawio ya jua hadi machweo yake.


Na mwanadamu atasema, Hakika iko thawabu yake mwenye haki. Hakika yuko Mungu Anayehukumu katika dunia.


Sivyo! Mioyoni mwenu mnatenda maovu; Mikono yenu wenyewe inaeneza udhalimu katika nchi.


Zaidi ya hayo utajipatia katika watu hawa watu walio na uwezo, wenye kumcha Mungu, watu wa kweli, wenye kuchukia mapato ya udhalimu; ukawaweka juu yao, wawe wakuu wa maelfu, na wakuu wa mamia, na wakuu wa hamsini hamsini, na wakuu wa kumi kumi;


ndipo hapo huyo bwana wake atamleta mbele ya Mungu na kumleta mlangoni, au penye mwimo wa mlango; na bwana wake atalitoboa sikio lake kwa uma; ndipo atamtumikia sikuzote.


Usimtukane Mungu, wala usimlaani mkuu wa watu wako.


Ujapokuwa unaona maskini kuonewa, na hukumu na haki kuondolewa kwa jeuri katika jimbo, usilistaajabie jambo hilo; kwa sababu, Aliye Juu kuliko walio juu huangalia; Tena wako walio juu kupita hao.


BWANA asimama ili atete, asimama ili awahukumu watu.


Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiwa na neno la Mungu; (na maandiko hayawezi kutanguka);