Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 81:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naam, ningewalisha kwa ngano iliyo bora zaidi, Ningewashibisha kwa asali itokayo mwambani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wewe ningekulisha kwa ngano bora, ningekushibisha kwa asali ya mwambani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wewe ningekulisha kwa ngano bora, ningekushibisha kwa asali ya mwambani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wewe ningekulisha kwa ngano bora, ningekushibisha kwa asali ya mwambani.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bali ninyi mngelishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali inayotoka kwenye mwamba.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, ningewalisha kwa ngano iliyo bora zaidi, Ningewashibisha kwa asali itokayo mwambani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 81:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati hatua zangu zilipokuwa zikioshwa kwa siagi, Nalo jabali liliponimiminia mito ya mafuta!


Ndiye aletaye amani mipakani mwako, Hukushibisha kwa ngano safi.


Wageni nao walitepetea, Walitoka katika ngome zao wakitetemeka.


Na sakafu za kupepetea zitajaa ngano, na mashinikizo yatafurika kwa divai na mafuta.


Laiti wangekuwa na moyo kama huu ndani yao sikuzote, wa kunicha, na kushika amri zangu zote sikuzote, wapate kufanikiwa wao na watoto wao milele!


Nao watu wa mji wakamwambia siku ya saba kabla ya jua kuchwa, Ni kitu gani kilicho tamu kuliko asali? Ni kitu gani kilicho na nguvu kuliko simba? Naye akawaambia, Msingelima na mtamba wangu, Hamngekitegua kitendawili changu.